SIMBA YATINGA FAINALI YA FA CUP
MOO, aipaisha Simba alaumeme
Klabu ya simba imetinga fainali ya kombe la
shirikisho la soka Tanzania bara (FA),
maarufu kama Azam Federation Cup, baada ya hapo jana kuiondosha Azam Fc
kwanbao1-0 mchezo wa nusu fainali uliopigwa kunakouwanja wa Taifa Jijini Dar
es-Salaaam. Bao lililofumgwa naMohamed Ibrahim(MOO) baada ya kupokeapasi murua kutoka kwa King Laudit Mavugo.
No comments