Header Ads 728*90

TSJ NA MCHAKATO WA KUFUNGUA VETA.


Na John Richaard
CHUO cha Uandishi wa Habari Time School of Journalism (TSJ), kupitia Mratibu wa Masomo Blandina Semaganga amebainisha kuwa wako mbioni kufungua Chuo ch Elimu ya Ufundi Stadi

(VETA) alipokuwa katika Sherehe za Bash ijumaa ya wkienda iliyopita.
Licha ya changamoto zinazo kikabili chuo hicho amesema wanaanzisha chuo hicho ili kuweza kutoa huduma ya aina mbali mbali itakayo wafanya wawe na wanafunzi wa aina tofauti tofauti katika fani mbalimbali chuoni hapo.

“Chuo cha TSJ tunatoa elimu ya uandishi wa habari lakini chuo kipo kwenye mchakato wa kuanzisha VETA, lengo ni kutoa wahitimu wa aina mbalimbali na wenye ujuzi tofauti tofauti, ikiwa  ni moja kuboresha huduma zetu kwa jamii ya Kitanzania.” alisema.


No comments

Powered by Blogger.